Javier Tebas,
makamu wa raisi wa Liga de
Futbol Profesional (LFP), anaamini kwamba kuna mchezo wa upangaji
matokeo kwenye La-Liga, na anaogopa skendo iliyowahi kuikumba Serie A
maarufu kama Scommessopoli ipo njiani kuja kwenye ligi kuu ya Hispania.
Tebas
ana mashaka kwamba kuna matokeo ya baadhi ya mechi yanapangwa, lakini anakiri kwamba anakosa ushahidi wa kutetea tuhuma zake.
"Mechi
zinauzwa kwenye La Liga na wanaofanya mambo hayo inabidi waekwe
hadharani," makamu huyo wa raisi wa LFP amesema kwenye mahojiano na Onda Cero.
"Kwa
bahati mbaya nashindwa kutoa uthibitisho, lakini matokeo ya mechi
yanapangwa nchni Hispania. Naona ile skendo ya ibu iliyotokea Italy
ikija hapa kwetu." |
No comments:
Post a Comment