![]() |
Rafael van der Vaart amesisitiza kwamba hakuna mawasiliano yoyote yanayofanyika kati yake na club ya Hamburg japo bado kuna fununu kwamba club hiyo ina mpango wa kumpa mkataba mpya.
The Dutch midfielder bado
ananyenyekewa na mashabiki kutokana na kazi nzuri aliyoifanya kwa miaka
mitatu ambapo kwa mujibu wa skysports, Hamburg-based billionaire
Klaus-Michael Kuehne yuko tayari kuisaidia club kumpa gamba jipya
Tottenham playmaker Van der Vaart.
|

No comments:
Post a Comment