Kwa maana hiyo baada ya kufanikiwa
kutwaa uchampion huo wa Supercup, Mourinho anaweka historia nyingine
kubwa duniani akiwa ndio kocha pekee kuwahi kutwaa makombe ya ligi na
supercup - (ambalo hukutanisha bingwa wa ligi na bingwa wa kombe la FA
ya nchi husika -au mshindi wa pili wa ligi) katika nchi nne tofauti
zilizo juu kwenye viwango vya FIFA - England alichukua EPL na Community
shield, Ureno walifanya hivyo hivyo, Italia pia na sasa Spain.
|
No comments:
Post a Comment