PSI

PSI

Friday, October 5, 2012

AARON RAMSEY KAMA KAWAIDA YAKE ANAPOFUNGA: JUZI KATIA KAMBANI JANA WAZIRI MKUU WA SYRIA AFARIKI

*Mkosi wa Aaron Ramsey *

Kila mara mchezaji wa Arsenal Aaron Ramsey anapofunga goli, mtu anakufa siku inayofuata.


May 1, 2011 = Ramsey alifunga bao dhidi ya Man Utd.
OSAMA BIN LADEN akafa siku inayofuata


Oct 2, 2011 = Ramsey alifunga dhidi Spurs
STEVE JOBS muasisi na mmiliki wa kampuni ya Apple akafa siku iliyofuata.

Oct 19, 2011 = Ramsey akafunga dhidi ya Olympic Marsellie
MUNMMAR GADDAFI akafa siku iliyofauta.

Feb 11, 2012 = Ramsey akatia kambani dhidi Sunderland
WHITNEY HOUSTON akafariki siku iliyofuata.


Aug 4, 2012 = Ramsey akafunga dhidi ya South Korea
KIRK URSO akavuta siku ya pili yake.

Oct 3, 2012(Juzi) = Ramsey alifunga dhidi ya Olympiakios
Waziri mkuu wa Syria amethibitishwa kuaga dunia jana hii.


No comments: