PSI

PSI

Tuesday, October 15, 2013

Baadhi ya pichaz za Rihanna akiwa South Africa!

2 
According to MTV BASE ni kwamba Mrembo RiRi kwenye show aliyoifanya juzi Johannesburg, inaaminika kwamba ameweka rekodi kwa kuwa msanii wa kike kupata watu wengi kwenye uwanja wa FNB Jumapili ya 13 October ambapo idadi aliyoipata ni ya zaidi ya watu elfu tisini (90)
October 16 2013 RiRi atafanya show huko Capetown South Africa ambapo wakati akiwa bado S.A ameendelea kutokelezea kwenye picha kadhaa kama hizi akiwa na Wanyama mbalimbali.
3
4
5
1

No comments: