PSI

PSI

Saturday, August 10, 2013

RATIBA YA UEFA HATUA YA MTOANO

Arsenal FC ya Uingereza imepangiwa kucheza na Fenerbache ya Uturuki katika mechi ya mtoano kuwania kucheza hatua ya makundi ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya katika mechi zilizopangwa kuanza kuchezwa kati ya Agosti 20 - 21.

Hata hivyo imeripotiwa kuwa klabu hiyo ya Uturuki ina kesi ya kupanga matokeo katika mahakama ya michezo, inaweza kutupwa nje ya mashindano hata kama ikiishinda Arsenal, iwapo itashindwa kesi yake.

Pia, AC Milan itacheza na PSV Eindhoven, Schalke Vs Metalist Kharkiv, Lyon Vs Real Sociedad, Pocos de Fereira vs Zenit ana Shakhter Karagandy vs Kazakhstan.

No comments: